Artwork

תוכן מסופק על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. כל תוכן הפודקאסטים כולל פרקים, גרפיקה ותיאורי פודקאסטים מועלים ומסופקים ישירות על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations או שותף פלטפורמת הפודקאסט שלהם. אם אתה מאמין שמישהו משתמש ביצירה שלך המוגנת בזכויות יוצרים ללא רשותך, אתה יכול לעקוב אחר התהליך המתואר כאן https://he.player.fm/legal.
Player FM - אפליקציית פודקאסט
התחל במצב לא מקוון עם האפליקציה Player FM !

24 JUNI 2024

9:52
 
שתפו
 

Manage episode 425393953 series 2027789
תוכן מסופק על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. כל תוכן הפודקאסטים כולל פרקים, גרפיקה ותיאורי פודקאסטים מועלים ומסופקים ישירות על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations או שותף פלטפורמת הפודקאסט שלהם. אם אתה מאמין שמישהו משתמש ביצירה שלך המוגנת בזכויות יוצרים ללא רשותך, אתה יכול לעקוב אחר התהליך המתואר כאן https://he.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu Gaza hasa kwa watoto, na ziara maalum ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS. Makala inatupeleka nchini India na mashinani nchini Uganda, kulikoni? Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini, hii leo Juni 24 ametahadharisha vikali kwamba UNRWA itaporomoka kama ufadhili hautapatikana haraka, na "kizazi kizima" cha watoto wako katika hatari ya kuangukia kwenye "umaskini, chuki na migogoro ya baadaye”. Ikiwa ni moja ya majukumu yake, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS wakishirikiana na mamlaka za mitaa za nchi hiyo umefanya ziara maalum katika Kijiji cha Nadiangere na kusikiliza kero za wananchi pamoja kuzindua shule mpya ya msingi..Katika makala Assumpta Massoi anatupeleka India kumulika jinsi mradi wa Benki ya DUnia umeondolea kaya adha ya changamoto za kiafya na kiuchumi zitokanazo na matumizi ya kuni na samadi ya ng'ombe kwenye kupikia.Na mashinani tunaelekea nchini Uganda kusikia ujumbe wa kiongozi wa jamii ambaye ni mkimbizi kutoka Sudan Kusini.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

100 פרקים

Artwork
iconשתפו
 
Manage episode 425393953 series 2027789
תוכן מסופק על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. כל תוכן הפודקאסטים כולל פרקים, גרפיקה ותיאורי פודקאסטים מועלים ומסופקים ישירות על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations או שותף פלטפורמת הפודקאסט שלהם. אם אתה מאמין שמישהו משתמש ביצירה שלך המוגנת בזכויות יוצרים ללא רשותך, אתה יכול לעקוב אחר התהליך המתואר כאן https://he.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu Gaza hasa kwa watoto, na ziara maalum ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS. Makala inatupeleka nchini India na mashinani nchini Uganda, kulikoni? Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini, hii leo Juni 24 ametahadharisha vikali kwamba UNRWA itaporomoka kama ufadhili hautapatikana haraka, na "kizazi kizima" cha watoto wako katika hatari ya kuangukia kwenye "umaskini, chuki na migogoro ya baadaye”. Ikiwa ni moja ya majukumu yake, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS wakishirikiana na mamlaka za mitaa za nchi hiyo umefanya ziara maalum katika Kijiji cha Nadiangere na kusikiliza kero za wananchi pamoja kuzindua shule mpya ya msingi..Katika makala Assumpta Massoi anatupeleka India kumulika jinsi mradi wa Benki ya DUnia umeondolea kaya adha ya changamoto za kiafya na kiuchumi zitokanazo na matumizi ya kuni na samadi ya ng'ombe kwenye kupikia.Na mashinani tunaelekea nchini Uganda kusikia ujumbe wa kiongozi wa jamii ambaye ni mkimbizi kutoka Sudan Kusini.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

100 פרקים

כל הפרקים

×
 
Loading …

ברוכים הבאים אל Player FM!

Player FM סורק את האינטרנט עבור פודקאסטים באיכות גבוהה בשבילכם כדי שתהנו מהם כרגע. זה יישום הפודקאסט הטוב ביותר והוא עובד על אנדרואיד, iPhone ואינטרנט. הירשמו לסנכרון מנויים במכשירים שונים.

 

מדריך עזר מהיר