Artwork

תוכן מסופק על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. כל תוכן הפודקאסטים כולל פרקים, גרפיקה ותיאורי פודקאסטים מועלים ומסופקים ישירות על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations או שותף פלטפורמת הפודקאסט שלהם. אם אתה מאמין שמישהו משתמש ביצירה שלך המוגנת בזכויות יוצרים ללא רשותך, אתה יכול לעקוב אחר התהליך המתואר כאן https://he.player.fm/legal.
Player FM - אפליקציית פודקאסט
התחל במצב לא מקוון עם האפליקציה Player FM !

27 JUNI 2024

9:59
 
שתפו
 

Manage episode 425937274 series 2027789
תוכן מסופק על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. כל תוכן הפודקאסטים כולל פרקים, גרפיקה ותיאורי פודקאסטים מועלים ומסופקים ישירות על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations או שותף פלטפורמת הפודקאסט שלהם. אם אתה מאמין שמישהו משתמש ביצירה שלך המוגנת בזכויות יוצרים ללא רשותך, אתה יכול לעקוב אחר התהליך המתואר כאן https://he.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ikiangaazia hafla maalum ya UNICEF na wadau wake pamoja na wasanii iliyofanyika Nairobi Kenya, mada ikiwa “Ungana na watoto wa Sudan”. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za maandamano Kenya, Janga la njaa Sudan, na MSMEs. Katika kujifunza kiswahili tunakuletea uchambuzi wa methali.Kufuatia madhila yaliyotokana na maandamano makubwa nchini Kenya dhidi ya mswada wa fedha, leo Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa, OHCHR imeeleza kwamba Kamishina Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk amesikitishwa na vifo na kujeruhiwa kwa watu.Zaidi ya Wasudan milioni 25 yaani zaidi ya nusu ya idadi ya watu wote nchini humo wanakabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa ya viwango vya Uhakika wa Chakula (IPC) kutokana na tathimini iliyofanywa kati ya mwishoni mwa mwezi Aprili na mapema mwezi huu wa Juni.Na ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya biashara ndogo sana, ndogo na za ukubwa wa kati, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake mahususi kwa ajili ya siku hii amesisitiza jukumu muhimu la wajasiriamali hao katika uchumi wa kimataifa, ikiangaziwa michango yao katika uundaji wa nafasi za kazi, ukuaji wa uchumi, na uwezeshaji wa makundi mbalimbali yaliyotengwa.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Chombo cha kuzama hakina usukani.”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
  continue reading

100 פרקים

Artwork
iconשתפו
 
Manage episode 425937274 series 2027789
תוכן מסופק על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. כל תוכן הפודקאסטים כולל פרקים, גרפיקה ותיאורי פודקאסטים מועלים ומסופקים ישירות על ידי UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations או שותף פלטפורמת הפודקאסט שלהם. אם אתה מאמין שמישהו משתמש ביצירה שלך המוגנת בזכויות יוצרים ללא רשותך, אתה יכול לעקוב אחר התהליך המתואר כאן https://he.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ikiangaazia hafla maalum ya UNICEF na wadau wake pamoja na wasanii iliyofanyika Nairobi Kenya, mada ikiwa “Ungana na watoto wa Sudan”. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za maandamano Kenya, Janga la njaa Sudan, na MSMEs. Katika kujifunza kiswahili tunakuletea uchambuzi wa methali.Kufuatia madhila yaliyotokana na maandamano makubwa nchini Kenya dhidi ya mswada wa fedha, leo Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa, OHCHR imeeleza kwamba Kamishina Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk amesikitishwa na vifo na kujeruhiwa kwa watu.Zaidi ya Wasudan milioni 25 yaani zaidi ya nusu ya idadi ya watu wote nchini humo wanakabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa ya viwango vya Uhakika wa Chakula (IPC) kutokana na tathimini iliyofanywa kati ya mwishoni mwa mwezi Aprili na mapema mwezi huu wa Juni.Na ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya biashara ndogo sana, ndogo na za ukubwa wa kati, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake mahususi kwa ajili ya siku hii amesisitiza jukumu muhimu la wajasiriamali hao katika uchumi wa kimataifa, ikiangaziwa michango yao katika uundaji wa nafasi za kazi, ukuaji wa uchumi, na uwezeshaji wa makundi mbalimbali yaliyotengwa.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Chombo cha kuzama hakina usukani.”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
  continue reading

100 פרקים

כל הפרקים

×
 
Loading …

ברוכים הבאים אל Player FM!

Player FM סורק את האינטרנט עבור פודקאסטים באיכות גבוהה בשבילכם כדי שתהנו מהם כרגע. זה יישום הפודקאסט הטוב ביותר והוא עובד על אנדרואיד, iPhone ואינטרנט. הירשמו לסנכרון מנויים במכשירים שונים.

 

מדריך עזר מהיר